Inaonekana makeup artist wanaendelea kutuletea trends mbali mbali mwaka huu pia, mwaka jana tuliona Christmas tree eye brows na squiggle brows tukajua hizi funny trends zitaishia 2017, lakini to our suprise tumeingia nazo mwaka 2018 tena mwaka huu zimeanza mapemaa, well ukiingia katika mitandao ya kijamii almost asilimia 50% ya make up artist wamepaka huu wanja ambao wameupa fish tail yaani mkia wa samaki.
Wanja huu upakwa kawaida mwanzoni lakini mwishoni wana fanya kuutengenisha mmoja unaenda juu kabla ya kufika mwisho na mwingine unabaki chini kama ambavyo mkia wa samaki ulivyo, tuna furahi kuona upande wa urembo pia wana jaribu kuleta vitu vipya siku mpaka siku.
Lakini tunajua Nyusi zina play part kubwa sana katika muonekano wa uso wako almost mtu anapo kuwa ana kuangalia cha kwanza ku notice ni zenyewe je kwa trend hii utapaka na kwenda nazo wapi? kwetu Africa watoto wata kuzonga na yoyote utakae kutana nae ata kushangaa sio kitu ambacho ni cha kawaida ajapo ni vizuri kuona upande huu wa pili una tuletea vitu vipya pia.
It’s a good trend for a twitter, Instagram and facebook show off but hatudhani kama ni sawa kutoka nazo nje ya hapo, tuambie wewe kwako unaionaje hii trend?
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/makeup-artist-wanakuletea-trend-mpya-ya-nsyusi-mkia-wa-samaki-fish-tail-eye-brows/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/urembo/makeup-artist-wanakuletea-trend-mpya-ya-nsyusi-mkia-wa-samaki-fish-tail-eye-brows/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/urembo/makeup-artist-wanakuletea-trend-mpya-ya-nsyusi-mkia-wa-samaki-fish-tail-eye-brows/ […]