Technology imefanya mambo yamekuwa rahisi kabisa kwa sasa, huitaji kwenda salon mkaanza kutafuta album la picha muanze kuonyeshana ideas za makeup. Sasa hivi social network zimeturahisishia unafika salon una idea yako kabisa umesha save kwenye simu.
Leo tunakuletea beauty looks tatu ambazo tumekutana nazo Instagram tukazipenda tumeona tukuwekee na wewe kama utakuwa na appointment ya makeup na umeipenda moja wapo hapa basi unaweza ku-copy.

Eliza is always giving us looks, kuanzia makeup mpaka mavazi. week hii tumemuona katika hii makeup kutoka kwa make up artist Lavie Makeup, kilichofanya hii makeup ku-stand out ni bold red lipstick as we always say kama unataka ku-make statement katika uso wako apply bold lipstick.

Hamisa ametupa ile simple makeup ambayo unaweza kupaka kama hutaki attention sana usoni mwako, makeup aina hii inafaa sana kama ni ofisini au mizunguko ya hapa na pale.

Tulimuona Fahyma ambae nayeye alikuwa beaten by Lavie Makeup akiwa kwenye hii nude look, tulichopenda hapa zaidi ni eye liner ambayo yenyewe ndio ime draw attention na kuweka boldness katika look hii.
Je makeup ipi umeona inakufaa na unaweza kujaribu kupaka?
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…