Technology imefanya mambo yamekuwa rahisi kabisa kwa sasa, huitaji kwenda salon mkaanza kutafuta album la picha muanze kuonyeshana ideas za makeup. Sasa hivi social network zimeturahisishia unafika salon una idea yako kabisa umesha save kwenye simu.
Leo tunakuletea beauty looks tatu ambazo tumekutana nazo Instagram tukazipenda tumeona tukuwekee na wewe kama utakuwa na appointment ya makeup na umeipenda moja wapo hapa basi unaweza ku-copy.

Eliza is always giving us looks, kuanzia makeup mpaka mavazi. week hii tumemuona katika hii makeup kutoka kwa make up artist Lavie Makeup, kilichofanya hii makeup ku-stand out ni bold red lipstick as we always say kama unataka ku-make statement katika uso wako apply bold lipstick.

Hamisa ametupa ile simple makeup ambayo unaweza kupaka kama hutaki attention sana usoni mwako, makeup aina hii inafaa sana kama ni ofisini au mizunguko ya hapa na pale.

Tulimuona Fahyma ambae nayeye alikuwa beaten by Lavie Makeup akiwa kwenye hii nude look, tulichopenda hapa zaidi ni eye liner ambayo yenyewe ndio ime draw attention na kuweka boldness katika look hii.
Je makeup ipi umeona inakufaa na unaweza kujaribu kupaka?
Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/urembo/makeup-looks-from-celebrity-to-inspire-your-next-makeup-appointment/ […]