Tunajua likija swala la event hasa zenye red carpet unatakiwa uhakikishe kila kitu kipo perfect, kuanzia mavazi, makeup, viatu, nywele na accessories well tumeshaona list ya nani kavaa nini lets talk about makeup looks tulizoziona
Elizabeth Michael in @divaglam_beauty,
Elizabeth Michael alikuwa host of the night, she did a middle bun hair style huku akiwa amelaza baby hair zake vizuri kabisa, wakati upande wa makeyp she gave us curled eyelashes and bold eyeliner amemaliza na ombre lipstick.
Hamisa Mobetto yeye alikuwa na hii look ambayo ni neutral, neat eyebrows, natural fake lashes akamalizia na nude lipstick wakati kichwani alikuwa na ponytail hair style. makeup by @laviemakeup
Dc Jokate Mwegelo in @@divaglam_beauty hands, Jokate na yeye alikuwa na neutral look, well done eye brows, Smokey eye eye shadow akamaliza muonekano wake na nude lipstick
Wema Sepetu yeye alikuwa more about the eyes and lips, she had gold as her eyeshadow, we live for the eyebrows akamalizia na brown lipstick huku kichwani akiwa na low cut hair style
Irada Styles in @cutelooksdar face beat, Irada yeye alichagua kuwa na Smokey eye, huku akimaliza muonekano wake na bold hot pink lipstick to match with her dress, na kichwani akamalizia na hijab nyeusi iliyo match na eye shadow yake
Afromates look ipi imekuvutia zaidi?
Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/urembo/makeup-looks-from-sinema-zetu-film-festival-2019/ […]