Ni jumatatu nyingine tena week iliyoisha kulikuwa na event nyingi tofauti tofauti Nje na ndani ya Nchi. Lakini kunawale ambao wao hupenda tu kupendeza siku hizi tunasema “we do it for the gram” .
Week hii tumewaona watu maarufu watatu ambao wao wame serve some major makeup looks for the gram, nao ni
Maua Sama ambae si mara nyingi una mkuta na full makeup usoni mwake, week hii amekuwa tofauti kidogo amepost picha zake akiwa na make up full usoni, we love the burgundy lipstick, gold eyeshadow & eyebrows on fleek hatujajua kama ni camera au foundation ni nzito kidogo, oh Maua ame debut new hairdo.
Shilole yeye alichaguliwa peach lipstick, kama Maua nae alikuwa na eye shadow ya gold, make up ya shilole imetulia haina kelele nyingi but again kuna kitu kuhusu foundation au camera inasababisha waoenekane wazito kidogo hasa kwenye macho.
Irene Uwoya werk it in nude lips & pink’sh eyeshadow, beautiful eyeliner wamemaliza na pink hair, we love this look on her she looks different.
Well makeup ya nani imekuvutia zaidi? hawa wote wamefanyiwa makeup zao na makeup artist mmoja aitwae flolina_beauty_makeup
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/urembo/makeup-looks-of-the-week-kutoka-kwa-maua-sama-shilole-na-irene-uwoya/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/makeup-looks-of-the-week-kutoka-kwa-maua-sama-shilole-na-irene-uwoya/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/urembo/makeup-looks-of-the-week-kutoka-kwa-maua-sama-shilole-na-irene-uwoya/ […]