Tunapenda jinsi makeup artist wetu wanavyo jitahidi katika swala zima la kuwafanya wasanii na watu maarufu wetu wapendeze, yes kama kuna kitu ambacho ukiharibu unaweza kuharibu muonekano wako mzima basi ni makeup. Makeup ikiwa mbaya inaweza kuharibu na muonekano mzima wa mtoko wako hata kama ukiwa umependeza kiasi gani lazima watu wata notice a bad makeup.
week hii tumependa hizi makeup looks tatu kutoka kwa stylist Swalha Msabaha, makeup artist Cherie Mals na Vlogger Fatmah Rash
Swalha Msabaha akiwa amepakwa makeup na perfectglow_tz, tumependa hii look tumemzoea Swalha akiwa na simple makeup usually anapenda nude lakini tumeona perfect glow wamempaka bold burgundy lipstick ambayo imeleta a pop of color.
Makeup Artist Grace Malikita ni kawaida yake kupenda kucheza na rangi, hapa akiwa na blue eye shadow ( ina trend sana kwa sasa) na nude listick, amemalizia muonekano wake na colorful braids.
Vlogger Fatmah Rash yeye alipakwa makeup na DivaGlam_beauty , tuseme hii ndio favorite makeup look yetu kwa week hii its just perfect and well done.
tuambie kwako umeipenda makeup ipi sana?
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More here to that Topic: afroswagga.com/urembo/makeup-looks-tulizozipenda-week-hii/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on to that Topic: afroswagga.com/urembo/makeup-looks-tulizozipenda-week-hii/ […]