Beauty Blander ni zile sponge zinazo tumika ku blend make up yako ikae sawa, una weza ukaziona ukaona rahisi kutumia lakini kuna namna ya kuzitumia ukapata matokeo mazuri zaidi, haya ni makosa ambayo wengi wetu tuna yafanya wakati wa kutumia beauty blender
1)unaitumia ikiwa kavu
kutumia beauty blender ikiwa kavu ina leta zile alama kama za michirizi ya kukatika usoni wakati wa ku apply faundation au kipodozi chochote ni vizuri ukailowesha, ikaushe mara mbili tatu halafu paka foundation yako na upake usoni kwa matokeo mazuri zaidi, ukimaliza HAKIKISHA una iosha papo hapo na kuiacha ikauke kabisa ndipo uje kuitumia tena siku nyingine
2) Una Palaza
hili ni kosa kubwa ambalo wengi wana fanya una paka kama foundation usoni halafu una ipalaza na beauty blender kama una paka mafuta ya mgando HAPANA unatakiwa kuibounc ile beuty blender usoni fanya kama una dundisha dundisha kitenesi
3) una paka foundation kwenye sponge

usipake foundation kwenye sponge halafu ndio uanze kubounce usoni hapana chukua kiasi cha foundation paka kwenye ngozi yako usoni kama puani, utosini, kidevuni mashavuni una paka kidogo kidogo kisha pitisha sponge yako kwa mtindo wa kudunda dunda
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…