Utaratibu kwa utuzaji ngozi umekuwa kitu cha kawaida na kizuri, wengi wetu tunachukulia serious sana hili swali kila mmoja wetu anatakakuwa na skin goals. Lakini unaweza kukuta unatumia vipodozi vizuri ila matokeo huyapati unayoyataka hapa sasa ndipo shida huanza, unajijali lakini matokeo hupati kumbe unafanya vitu ndivyo sivyo.
Haya ni makosa machache tuliyoyaona yanafanyika na wengi wetu
- Kutokufanya research ya kipodozi unachotumia
Hii tulishaiongelea wengi tukiona kipodozi kipo kwenye trend watu wengi wanatoa ushuhuda wametumia basi na sisi tunakwenda kukinunua na kutumia bila kujua nini kilichopo ndani yake na kama kinaendana na ngozi zetu au lah.
Umuhimu Wa Kusoma Lebo Katika Vipodozi
- Kutokutoa makeup kabla ya kwenda kulala
Hii ni muhimu unapolala na vipodozi usoni hutengeneza vipele, na sio makeup tu hata kama ni cream au lotion unapaka usoni ni vyema ukaitoa kabla ya kulala, unless ni kipodozi ulichoshauriwa ulale nacho. Japo makeup remover huwa zinasaidia lakini ina shauriwa uoshe ngozi na sabuni hili kuhakikisha umetoa vipodozi hivyo kabisa.
- Usitumbue vipele / chunusi
Wakati wengi wetu huwa tunahisi tunamaliza tatizo kumbe ndio kwanza tunatengeneza lingine au kulizidisha lilelililopo kuwa kubwa zaidi, ukitumbua chunusi kuna matatu
- Bacteria kusambaa sehemu nyingine na kusababisha huko nako kutokee chunusi
- Kusababisha matobo ambayo yanaweza kuingia uchafu / bakteria na kusababisha madhara mengine
- Kuacha doa jeusi ambalonalo utataka kuhangaika kulitoa
Acha chunusi iishe yenyewe au tumia kipodozi cha kuiondoa soma chini kwa maelezo zaidi kuhusu Madhara Ya Kutumbua Chunusi Na Namna Ya Kuacha Tabia Hio.
Pata Kufahamu Madhara Ya Kutumbua Chunusi Na Namna Ya Kuacha Tabia Hio
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/urembo/makosa-ya-ngozi-unayoyafanya/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on to that Topic: afroswagga.com/urembo/makosa-ya-ngozi-unayoyafanya/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/urembo/makosa-ya-ngozi-unayoyafanya/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/urembo/makosa-ya-ngozi-unayoyafanya/ […]