Mafuta ya nazi ni mazuri kama yatatumika ipasavyo.yana uwezo wa kukufanya uonekane mrembo mwenye ngozi ya kuvutia.
Miongoni mwa faida tano za kutumia mafuta ya nazi asilia ni kama ifuatavyo.
- Kulainisha ngozi
Kuondoa magaga kwenye nyayo za miguu kuzuia mipasuko ya nyayo za miguu kukauka kwa ngozi ya mikononihivyo mafuta yanazi yanasaidia kwa kiasi kikubwa sana kulainisha ngozi na kuipa afya nzuri.
- Kuondoa ngozi iliyoharibika” Dead skin”
Mafuta ya nazi husaidia kuondoa ngozi iliyoharibika katika mwili wako, chukua mafuta ya nazi, sukari na chumvi changanya upate mchanganyiko mmojakisha paka mwili mzima.

Fanya massage kwa mchanganyiko huo kaa nayo kwa mda kisha kaoge vizuri na sabuni.utaona tu mabadiliko katika ngozi yako baada ya zoezi hili.Fanya mara 3 kwa wiki au utakavyoamua wewe.
- Kuondoa Make Up
Mafuta ya nazi yanaweza pia kutumika kuondoa makeup usoni baada ya kutoka kwenye sherehe ukiwa na makeup unashauriwa kuitoa kabla ya kuingia kulala ili kuendelea na ngozi nzuri yenye afya. Mafuta ya nazi yanatumika hivichukua pamba safi chovya kwenye mafuta ya nazi.
kisha anza kufuta uso wako taratibu kwa kutumia pamba iliyo na mafuta ya nazi. baada ya kufuta chukua cleanser uliyoandaa au nawa uso wako vizuri na sabuni.ukifanya haya utasaidia kutunza uso wako na kuwa na afya nzuri.
- Kukuza nywele
Mafuta ya nazi, yanatumika katika kurutubisha nywele na kufanya ziwe na nuru na kujaza,kupaka kwenye ngozi kupaka sehemu ya nywele ambazo hafifu au zilizo katika.
- Kusaidia katika kunyoa “Shave oil”
Wengi wetu tumezoea kutumia Shave cream wakati wa kunyoa nywele katika maeneo maeneo lakini mafuta ya nazi pia yanaweza tumika hapa badala ya shave cream, yenyewe yanasaidia kutibu vipele vinavyojitokeza baada ya kunyoa.
haya mafuta wengi wanatumia katika kunyoa vinyweleo, inakuacha ukiwa soft na inasaidia kwa kiasi kikubwa kukufanya ngozi yako iwe salama tofauti na kutumia kiwembe au kitu kingine.
Shea na uwapendao
©binturembo
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…