Tukiongelea watu maarufu ambao tunajua toka zamani wanapenda kope fake basi ni Irene Uwoya, toka ameingia katika sanaa amekuwa akijulikana kutokana na mapenzi yake ya urembo huo, zamani alikuwa anapenda zile kope ndefu sana, kutokana na macho yake kuwa makubwa Irene always look great on long lashes.
Wakati siku zikiwa zinaenda na mambo yanamabilika, zikaletwa lashes bora zaidi na Irene hakuacha kuendelea kutumia, kama ambavyo watu maarufu wengi hupenda kutumia kile walicho nacho au walicho kikosa na kugeuza biashara basi ndivyo Irene Uwoya nae alipoona fursa ya mapenzi yake na kope bandia kuanzisha bidhaa yake ya kope hizo ambazo amezipa jina la I Lashes by Irene Uwoya kwetu sisi tunadhani hii ni move nzuri maana tumekuwa tukiona mapenzi yake na kope bandia, kitu ambacho tunataka kujua tu ni kwamba quality ni nzuri kama ambavyo packaging ilivyo.
Katika kurasa yake ya Instagram Irene aliandika kwanini ameamua kuja na bidhaa hizi
Habari,Ukiniita Oprah hutakuwa umekosea ila kwa majina niliyopewa na wazazi wangu ni Irene Pankras Uwoya.Ni kwa muda mrefu nimeweza kufanya vingi na kufanikiwa katika sanaa yangu ya uigizaji na yote hii ni sababu ya support kubwa niipatayo kutoka kwenu mashabiki zangu na kiukweli nimebarikiwa kuwapata nyie katika maisha yangu…my fans are so loyal sababu kila ninalowaomba bila pingamizi mmekuwa zaidi ya msaada kwangu katika kuhakikisha lolote nifanyalo hamniachi peke yangu bali mnaniunga mkono kwa njia moja au tofauti.Mara nyingi ninapokuwa katika kazi zangu napenda sana urembo wa macho sababu naweza sema imekuwa silaha au kitu pendwa zaidi kwa mashabiki zangu pale ninapokuwa katika uigizaji au katika maisha yangu nje ya sanaa,na katika kuhakikisha wakipendacho mashabiki zangu nakiboresha basi mara kwa mara nimekuwa nikiweka urembo wa kope ambao unafanya macho yangu kuwa kivutio zaidi either niwe na make up au bila make up mara zote nimekuwa nikiweka kope tokana na kazi au mazingira husika kwa wakati huo.Hivyo basi kwa sasa nimekuja na biadhaa yangu ninayoitangaza leo kwenu iitwayo I-Lashes by Irene Uwoya ambayo itapatikana Tanzania nzima katika maduka ya urembo yote yaliyo karibu nawe na kwa kuanza kwa wauzaji wa jumla punde nitaweka mawasiliano kwa ajili na kuweza kuweka order kulingana na uhitaji wako.Kwa mara nyingine Naombeni sana support yenu bila kunichoka na nina wapenda sana sana sana.I-Lashes ni kope ambazo unaweza tumia zaidi ya mara 3 na zenye uhalisia ufananao na kope zetu halisi kwa size na model tofauti tofauti,usikae mbali na page yangu ili upate update zaidi.
I’m not perfect but my lashes are…..
Well afromates what do you think ni move nzuri au lah?
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you will find 29519 more Information on that Topic: afroswagga.com/urembo/mapenzi-yake-na-kope-fake-yamemfanya-irene-uwoya-aje-na-bidhaa-ya-kope-fake/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/urembo/mapenzi-yake-na-kope-fake-yamemfanya-irene-uwoya-aje-na-bidhaa-ya-kope-fake/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/mapenzi-yake-na-kope-fake-yamemfanya-irene-uwoya-aje-na-bidhaa-ya-kope-fake/ […]