Kuna matumizi zaidi ya mia moja ya mafuta ya nazi lakini leo tunawaletea matumizi machache tu yanayo uhusiana na mafuta ya nazi, wengi wetu tunayo na tunatumia kama mafuta ya nywele au mafuta ya mwili pasipo kujua kuna matumizi mengine ambayo nayo yanasaidia kuimarisha urembo wetu.
Kungarisha meno
unaweza kutumia mafuta ya nazi ukachanganya na banking powder na kutumia kama dawa ya mswaki kung’arisha meno yakawa meupe sana, na kuondokana na meno mabaya ya njano.
lip balm
unaweza kutumia mafuta ya nazi kama lip balm kuna wale tusio kuwa na uwezo wa kununua lip balm, na wale ambao lip balm tuna allege nazo labda midomo ina babuka au vinginevyo una weza kutumia mafuta ya nazi kama lip balm bila madhara yoyote
mafuta ya kunyolea
unaweza kutumia mafuta ya nazi kunyolea miguu, chukua mafuta pakaza kwenye miguu kisha nyoa vinyweleo vyako vya miguu itakupa muonekano smooth na pia kiwembe hakito kwama kwama.
kuondolea make up
ni vizuri ukaondoa make up yote kabla ya kulala, paka mafuta ya nazi kidogo kwenye pamba kisha futa make up kama machoni au usoni.
Related posts
5 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/matumizi-mengine-ya-mafuta-ya-nazi/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/urembo/matumizi-mengine-ya-mafuta-ya-nazi/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/matumizi-mengine-ya-mafuta-ya-nazi/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/urembo/matumizi-mengine-ya-mafuta-ya-nazi/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/urembo/matumizi-mengine-ya-mafuta-ya-nazi/ […]