Limao linajulikana kama kiungo cha jikoni lakini pia limao linaweza kusimama kama kipodozi katika urembo. Limao lina kazi mbali mbali pia huleta matokeo mazuri kama likitumiwa ipasavyo. Baadhi ya kazi hizo ni,
KUONDOA WEUSI MAKWAPANI:Limao linaweza kuondoka weusi katika makwapa kwa kuchanganya limao, asali na oats (si lazima), paka na kaa nayo kwa muda wa lisaa limoja kisha unaweza kutoa, Hii usaidia pia kwa wale wenye kutokwa na harufu mbaya kwapani.
LIMAO HUTUMIKA KAMA KINGA KATIKA NGOZI: Kwa wale wenye ngozi za mafuta limao linaweza kufanya ngozi yako iwe kavu kwa muda na pia huondoa chunusi, Paka maji maji ya limao na kaa nayo kwa muda wa dakika 10 kisha ondoa. Kila siku mpaka utakapo pata matokeo uliyo ridhika nayo, Pia huondoa weusi na chunusi katika ngozi.
KUNG’ARISHA NA KUFANYA KUCHA ZIWE NGUMU:Ni rahisi chukua maji ya limao changanya na olive oil kisha paka kwenye kucha zako hii itafanya kucha zako kung’aa na kuwa ngumu.
KUNG’ARISHA NYWELE:Kama unapenda nywele zako zing’ae basi paka maji ya limao kisha zikaushe, zitang’aa kuliko zilivyo kuwa mwanzo ili kupata matokeo mazuri fanya hivi mara moja kwa week.
Related posts
4 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/urembo/matumizi-ya-limao-katika-urembo/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/urembo/matumizi-ya-limao-katika-urembo/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/urembo/matumizi-ya-limao-katika-urembo/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/urembo/matumizi-ya-limao-katika-urembo/ […]