Kwa warembo wote wanaopenda nywele nzuri na za kupendeza ,je wajua kua Tangawiz ni nzuri sana kwa nywele yako?
Tangawiz ni nzuri kwakua is very rich in minerals na pia ina essential oils kwa ajili ya kuifanya nywele yako iwe soft na rahis kuitunza
Kwa wale wote wanaosumbuliwa na mba na miwasho tangawiz ni dawa nzuri kwa kulinda ngozi yako kwakua ina natural ant fungal, anti-septic na pia anti-inflammatory inazuia magonjwa yoyote yale ambayo yanaweza kushambulia ngozi yako .
Hii ni natural steaming ambayo nywele yako inahitaji ili iwe na nzuri naya kupendeza kama wewe umekua ukisumbuliwa na mba kwa mda mrefu jaribu hii na utapata matokeo mazur sana na utaipenda.

Namna ya kuandaa steaming yako ya tangawiz.
- Toa maganda ya juu.
- Iponde halafu kamua maji yake .
- Hayo maji yake unaweza kumix na asali au avocado ,aloe vera etc
- Tangawiz isiwe nyingi kidogo tu.
- Baada ya hapo unapaka kuanzia chini kupanda juu na massage ngozi yako
- Halaf funika kwa lisaa limoja.
- Baada ya hapo osha na maji mengi.
Baada ya kuosha utapaka leave in conditioner then na kupaka juu . Unaweza kua unapaka hii steaming mara kwa mara kwa ajili ya nywele yako na utaipenda
By @letsgonatural
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you will find 41032 more Information on that Topic: afroswagga.com/urembo/matumizi-ya-tangawizi-katika-ukuaji-wa-nywele/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/urembo/matumizi-ya-tangawizi-katika-ukuaji-wa-nywele/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/urembo/matumizi-ya-tangawizi-katika-ukuaji-wa-nywele/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/urembo/matumizi-ya-tangawizi-katika-ukuaji-wa-nywele/ […]