Kusuka rasta ni kuzuri sana na kunapendezesha mno, lakini pia usipo zijali zina kata sana nywele hasa za mbele, fanya yafuatayo ili kulinda rasta zako na pia nywele,
Siku moja kabla ya kusuka fanyia steaming nywele zako unaweza kufanya hizi hata ukiwa umesukia rasta na pia baada ya kuzifumua hii itasaidia nywele kuto kukatika.
JINSI YA KUZITUNZA RASTA
- Kama rasta zilisukwa zimekazwa sana basi fanyia massage nywele zako kwa maji ya uvuguvugu na paka mafuta chini ya nywele kingo za msuko mara kwa mara hadi siku saba hii itasaidia kulainisha nywele pia kuwezesha nywele kuto kukatika.
- Hakikisha ngozi ya kichwa inakuwa safi na umepaka mafuta kusaidia nywele kuto kukatika.
- Vaa kofia ya satin wakati wa kulala, hii ina saidia rasta kuto kufumuka haraka na kuzuia uchafu kuingia katika rasta zako
- Epuka mafuta yasiyo ya asili, paka mafuta ya asili kama mafuta ya nazi husaidia kufanya nywele zako zisikatike na kung’aza rasta
- Epuka kuvuta rasta sana wakati wa kuzi staili rasta zako itasaidia nywele kuto kukatika na pia kufanya rasta zisifumuke haraka.
- Osha rasta zako kila baada ya wiki mbili.
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Info here on that Topic: afroswagga.com/urembo/matunzo-ya-rasta/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 46555 additional Information on that Topic: afroswagga.com/urembo/matunzo-ya-rasta/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/urembo/matunzo-ya-rasta/ […]