Wengi hupenda kuitumia kwenye chips, salad au snacks za hapa na pale lakini kumbe mayonnaise ina faida kubwa sana kwenye nywele hasa zile kavu (zinaweza kuwa natural hair au relaxed) una weza kupaka wakati nywele ni kavu au zikiwa zime loa ila ili kupata matokeo mazuri ni nzuri kwa nywele kavu mfano: unataka kuziosha kwa sababu ni chafu paka kwanza mayonnaise kabla ya kuosha.
Faida za mayonnaise
-ina kila kiungo ambacho kina faa kwa ajili ya nywele kama mayai,vinegar,mafuta etc.
-Vinegar iliyopo katika mayonnaise itasaidia kusafisha ngozi ya kichwa na ku restore ph balance
-mafuta yatasaidia ku- mosturize nywele zako na kuzipa mng’aro na kuzifanya ziwe soft
Namna ya kufanya
ni rahisi chukua mayonise yako ya kutosha weka katika bakuli, kisha anza kupaka kichwani. Funga na mfuko kaa nayo kwa masaa manne na zaidi kisha osha. una weza kufanya hivi mara mbili kwa mwezi yaani mara moja kila baada ya week mbili
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…