Yoga – ni uhusiano wa kimwili na kiroho kwa hatua ambayo hutatua matatizo mara moja tu, wengi hudhani Yoga ni mchezo tu lakini lakini si kweli ukimuuliza mtu yoyote ambae ana pata muda mrefu wa kufanya mazoezi ya Yoga ata kwambia huu si mchezo. Mazoezi ya Yoga ni ya kipekee katika mwili,misuli, roho na akili kwa kuwa vyote vitapata kupumzika na kupata utulivu.
Yoga kuharakisha mzunguko wa damu, athari ambazo zitaathiri mwili mzima:
1) Kuimarisha wa mishipa ya damu.
2) Mafunzo ya mfumo musculoskeletal.
3) Uboreshaji wa mfumo wa kujiendesha.
Faida za yoga usoni
Kupumzika kwa mwili, akili na ubongo huweza kusababisha kuondoa mikunjo katika uso na mwili wako
Inaondoa Mvutano wa uso
Inakuza uzalishaji wa collagen na kukupa muonekano wa mzuri wa kijana zaidi
Ni rahisi kuliko mafuta tunayo nunua dukani
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/urembo/mazoezi-ya-yoga-ya-uso/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/urembo/mazoezi-ya-yoga-ya-uso/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here on that Topic: afroswagga.com/urembo/mazoezi-ya-yoga-ya-uso/ […]