New Week, New hair, tumeanza week ya kwanza ya March na tumeona tuwaletee mitindo ya nywele ambayo unaweza kujaribu week hii. Mitindo hii ya nywele ni ile ambayo tumeona ina trend na ni mizuri kwa ninyi mates wetu kusukia.
Vitunguu
Vitunguu huwa vinampendeza kila mtu viwe vifupi au virefu, kizuri kuhusu style hii ya nywele ni kwamba unaweza kubadilisha styles nyingi uwezavyo unaweza kupasua kati, kuweka upande, kufunga kidoti nakadhalika. Unaweza kupata hii hair style kwa kutumia rasta za @darling kuna fupi na ndefu lakini pia rangi mbalimbali ni wewe na mapenzi yako uchague rangi ipi.
The Fro au Afro
Kama wewe ni mpenzi wa natural look basi hii hair style inakufaa, we are not going to lie hii nywele ni nzuri hasa kama utaweka ujazo wa kutosha, pia inakufanya uonekane ki – asili zaidi, unaweza kutumia soft kinky braids kutoka kwa @darling kupata muonekano huu.
Flufy kinky
Kama kuna nywele ambayo unaweza kucheza nayo mara nyingi na kupata mionekano tofauti ni hii, unaweza kusuka kama crochet braid, Unaweza kufanya single or twist na kumalizia na kuweka maji ya moto kupata muonekano huu, unaweza kupata hizi nywele kutoka kwa @darling hair na zinaitwa hivyohivyo Flufy Kinky
Cubic twist
Kama wewe ni mpenzi wa nywele ambazo huonekana kama weaving basi hizi ni chaguo zuti kwako, lakini pia unaweza kuzisuka kawaida au kufanya kama crochet braids chaguo ni lako na zinapatikana @darling
Well afromates ni matumaini yetu umepata style ambayo inakufaa kati ya hizi ambazo tumeziweka hapo juu kama ukisukia usisite kututag katika account zetu za mitandao ya kijamii,.
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…