Ukistaajabu ya Gigy Money utayaona ya Msanii Alexander Bagonza A.K.A Apass kutoka Uganda ambae yeye alipost huu muonekano wake mpya wa nywele na caption aliyoandika “How do I look with this 3.5 million hair cut ✂️ ??? Be positive I spent a lot of money 😂😂😂 #Twookya Cc @hairbyzziwa @barber_chris553” , well milioni 3,500,000/ za Uganda ni sawa na Milioni 2,210,006.34/- za ki-Tanzania.
Okay tumezoea kuona wanawake wakitumia pesa nyingi kwenye urembo kuna nywele zinauzwa mpaka milioni tatu n.k, kwa wanaume wao huwa rahisi kidogo wao hunyoa na kubadilisha tu rangi nywele, na hata wakisuka hawasukii nywle ghali, hii ya msanii huyu ime tushtua kidogo kutumia zaidi ya milioni mbili kwa kuwekwa bleach na kunyolewa it had us wonder je bleach waliyoiweka ni ya kumfanya awe blonde milele au?
Well afro mates let us know your opinion on his look, ina deserve kulipiwa zaidi ya milioni mbili?
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…