Mwaka jana tuliona Beyonce ame trendisha hizi braids hair styles ambapo watu wakazipa jina la formation tour braids, well mwaka huu tumemuona Lupita Nyongo akiwa amesukia hii style ya rasta ambapo tumeona fashionista’s wengi wamekuwa obsessed nayo. Lupita akiwa amepamba gazeti la Allure mwaka huu alisukia braids ambazo zina bang kwa mbele, katika gazeti hili Lupita aliongelea kuhusu mambo mengi ikiwepo siasa na kuhusu kukataa kueditiwa nywele zake.
Katika kurasa ya mbele ya gazeti hili Lupita ameonekana akiwa amesukia rasta za vitunguu ambazo mbele fupi nyuma ndefu (bang har style) na akiwa ameongezewa urembo wa beads, beads braids zimekuwa zikitrend toka mwaka jana lakini Lupita yeye ameweka utofauti kwa kuongezea tu hio bang mbele, Kwa Lupita she is always about african culture linapo kuja katika swala la nywele zake, juzi tuliona alivyo tumia hair style la kabila la amasunzu kutoka Rwanda katika Tuzo za Oscar, lakini pia ana natural hair ambazo hajatia dawa na hapendi kuzificha na wig’s au weaving.
Well baada ya kumuona Lupita tumeona watu maarufu, fashionista’s na fashion bloggers wengine wakiwa wamesukia mtindo huu wa nywele, well ukisukia hizi braids na kuweka hizo baids zinakupa a strong character ya African Women.
YouTuber & Fashionista Lerato Nobuntu Sengadi au @leratolicious1 ameonekana akiwa ame sukia hair style hii pia, yeye amejaribu kuwa toauti kidogo kwa kuongezea braids za kilimanjaro katikati.
Mbunifu @adamparis na yeye ameonekana kuvutiwa na style hii amesukia rasta zake na kuongeza urembo wa beads mbalimbali za plastic na mbao, zimeleta muonekano mzuri sana, next time unataka kusuka kumbuka kuwa wa tofauti kwa kuongezea urembo wa nywele
Mwanamuziki Yemi Alade kutoka Nigeria nae ameonekana kuto kupitwa na hii style ya rasta, tumependa hii hair style na tunategemea kuiona mwaka huu kwa kuwa imeanza na kiki mno, well kwa sababu tulimuona Lupita kaanza should we call this Lupita Braids? Do let us know maoni yako katika box la maoni.
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/urembo/mtindo-wa-rasta-unaotrend-kwa-sasa/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/urembo/mtindo-wa-rasta-unaotrend-kwa-sasa/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 6660 more Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/mtindo-wa-rasta-unaotrend-kwa-sasa/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/urembo/mtindo-wa-rasta-unaotrend-kwa-sasa/ […]