Mwanamuziki kutoka America, Halsey amefanya mahojiano na gazeti la Nylon magazine na katika mahojiano yao hayo, Halsey amesema amegundua kwamba maziwa ya mama (ya kunyonyesha) ni best skincare ingredient.
Halsey amesema toka ajifungue mwanae mwaka 2021, skin care routine yake imebadilika “I’ve always been really conscious about what goes on my skin, but when your baby is kissing you or snuggled up against you, you become hyper-cognizant of what’s on your face,” they told Nylon. “I love the Biologique Repecharge’s colostrum VG serum, which I got into when I first had my son.“

Lakini pia aliongeza kwa kusema “I started breastfeeding, and I figured out that breast milk is the best skincare ingredient ever because it’s so full of antioxidants and good fats and stuff that speed up the healing process,”
Lakini tukataka kujiridhisha je ni kweli Maziwa ya mama yanaweka kutumika kama skincare? To our surprise tulikutana na maandiko mbalimbali yakisema inawezekana na yanafaida nyingi katika ngozi “In fact, studies show that breast milk’s powerful immunological properties are effective in the treatment of many skin and soft tissue conditions such as diaper rash; eczema; acne; and umbilical cord separation, as well as sore, dry, or cracked nipples; pink eye; nasal congestion; and minor scrapes, burns, and other superficial skin wounds.”
Well tuambie ulikuwa unajua hili swala? Na je kama umetumia matokeo yake yapoje?
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…