Unajuaje hii ni trend? ni baada ya kuona watu wengi wakifanya ila hasa wale ma fashionista, stylist na fashionable hapo ndio unapo jua hiki kitu kipo kwenye chat kwa sasa. Ume pita muda mrefu hatuja ongelea kuhusu kucha lakini tume notice kuna aina za rangi za kucha zinazo trend kwa sasa na watu maarufu wengi wame paka
Holographic nails – rangi hii ya kucha ina kua na mng’ao flani kama upinde wa jua, na huwaka pale kucha zinapo pigwa na mwanga hii tumeiona kwa wasanii wengi ila hizi karibuni tume muona mke wa Kevin Hart akiwa ame ipaka kwenye harusi yake
Eniko Parish
2. Ombre nails – kama ambavyo ombre lipstick inavyo trend basi na kwenye kucha ni hivo hivo, ombre nails ni zile kucha zina pakwa rangi kuanzia mbili kwenda mbele zenye jamii moja au tofauti yaani rangi za kufifia na zinazo ng’aa
3. 3D charms – hapa ni kuongezea urembo kama chain na pearls katika kucha ili kupata muonekano tofauti, ni kitu ambacho kipo kwenye trend sana kwa sasa ina kupa ile cute girly look
4.Nude nails – Nude is a new black, ina endana na kila kitu kuanzia rangi za nguo hadi rangi za mwili
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…