Irene Kiwia si jina geni sana kwa wale wapenzi wa mitindo na fashion, miaka kadhaa nyuma aliwahi kutikisa Nchini mwetu baada ya kunyakuwa taji la ‘Face of Africa’ lakini pia Kiwia, aliwahi pia kubeba taji la Miss Temeke mwaka 2000, ambapo mwaka huo alimaliza kwenye tatu bora ya Miss Tanzania
Irene kwasasa ana kampuni yake iitwayo Frontline Porter Novelli, well Irene ni moja kati ya warembo wanaosifika kwa kuwa bado in shape hata baada ya kuwa mama, moja kati ya vitu ambavyo vimetuvutia kutoka kwake hivi karibuni ni namna ambavyo ana show off mvi zake bila ya kujali kuonekana mzee.

Inajulikana namna ambavyo watu maarufu wanawekewa picha ya kuwa vijana wakati wote na kuficha zile flaws, lakini ni tofauti kwa Irene mara nyingi anapenda kuwa yeye ana rock nywele zake asilia tena zikiwa fupi na sasa akituonyesha kwamba ana mvi na yupo proud nazo well tunapenda kuona kwamba watu maarufu wanatuonyesha its okay kuzeeka ni sawa kuwa na flaws wote ni binadamu na ni process lazima tupitie
Week kadhaa nyuma tulimuona Jacqueline Ntuyabaliwe alivyotuonyesha stretch mark zake unaweza kusoma hapo chini na tupe maoni yako
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…