wengi ambao tunatumia mafuta ya mgando tutakuwa tunajua mafuta haya ya Vaseline, ukiachana kuwa ni mafuta mazuri ya ngozi unaweza kutumia mafuta haya kwa mambo mengine mbalimbali na yakawa msaada mkubwa.
- Kutoa Gundi Kwenye Frontal
Wale ambao tunabandika nywele tunajua kasheshe la kutoa gundi ya fronta,l ukiachana na kuumia lakini pia unaweza kukata au kuharibu edge’s zako,namna nzuri ya kuondokana na mateso haya ni kutumia Vaseline kutolea frontal. Paka vaseline yako kabla hujatoa frontal iache ilainishe frontal kwa muda kisha anza kubandua na utaona ni rahisi, haina maumivu na haikati edges.
- Kutoa Big G Kwenye Nywele
Hakuna kitu king’ang’anizi kwenye nywele kama Big G, unaweza kukata nywele na kuumia ikikugandia, njia rahisi ni kutumia vaseline kupaka sehemu ambayo Big G imegandia na itatoka kirahisi.
- Kufanya Harufu Ya Perfume Idumu
Ilikufanya perfume yako idumu muda mrefu ukiachana na kupaka perfume hio sehemu sahihi unaweza kwa kuanza kupaka Vaseline sehemu husika kisha ndio upulizie perfume na itadumu muda mrefu zaidi.
- Inasaidia Kuondoa Magaga
Kama miguu yako imepasuka (magaga) basi unaweza kutumia Vaseline kuondoa / kupunguza tatizo hilo, safisha miguu yako vyema, kausha na kisha paka mafuta ya Vaseline ya kutosha na uvae socks, miguu yako italainika na tatizo kupungua.
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…