Mchakato wa ngozi kuanza kuzeeka huanzia ukiwa na miaka 20, japo katika miaka hii huwa haitokei sana. Lakini tunapofikia kwenye miaka 30 kwenda mbele kunakuwa na mabadiliko makubwa kama cell turnover slows down na kufanya ngozi zetu kuwa rahisi kupata chunusi, hyperpigmentation, milia, & uneven texture. Ndio maana kwenye miaka hii ni vyema zaidi ukachukua muda wako kujali ngozi yako, vitu vichache ambavyo unaweza kufanya ni,
Skincare Regimen
Kuwa na utaratibu maalumu wa kujali ngozi yako, kuanzia unachokula, dawa unazokunywa, na kutumia vipodozi maalumu vinavyoendana na ngozi yako, hii itasaidia kufanya ngozi yako iendelee kuwa nzuri.
Sun Screen
Ni muhimu sana kipindi hiki kuwa na sun screen kama tulivyosema hapo juu, ngozi ikifika umri huu cell turnover zinaanza ku-slow down ni muhimu kuji-protect najua ili kuzuia kupata makunyanzi na ngozi kuharibika.
Umuhimu Wa Kupaka Sunscreen Katika Ngozi
Chakula
Angalia sana chakula unachokula, hakikisha unaepuka vyakula vyenye sukari nyingi ambavyo vinaweza kupelekea ngozi kuzeeka haraka, ngozi kukakamaa na kupunguza skin elastick.
Usingizi
Hakikisha unalala vya kutosha, kutokupata usingizi wa kutosha kunaweza kuzidisha kuonekana kwa aging signs na kupunguza skin elastic ambayo itapelekea kuzidi kuonekana kwa makunyanzi ya ngozi pamoja na uneven skin pigmentation.
Stress
Kutokana na study kadhaa inaonyesha stress zinaweza kusabisha chunusi lakini pia makunyanzi kwenye ngozi, ukiwa katika miaka hii pressure inakuwa kubwa kutokana na kuona umri umeenda labda na kuna vitu kadhaa hujakamilisha na kupelekea msongo wa mawazo, lakini inashauriwa upunguze stress as inaharibu ngozi yako.
Related posts
5 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/urembo/namna-ya-kujali-ngozi-yako-ukiwa-na-miaka-30/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 25975 additional Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/namna-ya-kujali-ngozi-yako-ukiwa-na-miaka-30/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/urembo/namna-ya-kujali-ngozi-yako-ukiwa-na-miaka-30/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/urembo/namna-ya-kujali-ngozi-yako-ukiwa-na-miaka-30/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here to that Topic: afroswagga.com/urembo/namna-ya-kujali-ngozi-yako-ukiwa-na-miaka-30/ […]