Kila mmoja wetu anapenda kuwa na nywele laini, ndefu ambazo zinashine, tuna tumia fedha nyingi katika nywele lakini bado malalamiko hayaishi kuna wale wanao sema nywele zao hazikui, kuna wale wanaosema ngumu basi alimradi taflani, leo katika pitapita zetu tumekutana na hizi tips kutoka kwa @naturalhair_tanzania ambao wao wame specialize katika maswala ya nywele za asili.
1. Deep conditioning
Fanya deep conditioner atleast mara moja kwa wiki tumia moisturising deep conditioner. Deep Conditioner ni kama steaming, unapaka na kukaa nayo kwa muda fulani kisha unaosha.Inaweza kuwa ya kununua dukani yaani special au ukatengeneza mwenyewe nyumbani.
2. Co wash
Fanya conditioner wash kwa kutumia moisturising cleasing co wash na ufanye katikati ya week wakati nywele zako zinahitaji some extra TLC itasaidia kubalance moisture
3. Seal your ends
Nywele za juu huwa zinahitaji unyevu wa kutosha so ni lazima useal na heavy oil ili kufanya unyevu usipungue na kuzifanya ziwe kavu
4. LOC METHOD
Loc method ni njia nzuri ya kuipa nywele moisture ya kutosha , pakaa leave in kwenye nywele ulizospray maji , Oil then Cream to seal in the moisture..I personally dont use the loc method because my hair seems to like oil after the cream ….. Kuna njia nyingi za kupaka products … You have to figure out what works for your hair …
kwa ushauri zaidi unaweza kuwa whatsap au karibu wanapatikana dar free market no 32.#loveyournaturalhair
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/urembo/namna-ya-kujali-nywele-kavu/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on to that Topic: afroswagga.com/urembo/namna-ya-kujali-nywele-kavu/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on on that Topic: afroswagga.com/urembo/namna-ya-kujali-nywele-kavu/ […]