Manjano ni njia ya asili kubwa ambayo inatumika katika kujali afya na urembo wa ngozi yako, inatumiwa kwa namna nyingi kusafisha ngozi lakini pia hutumika kuondolea vipele (chunusi) usoni, nani asiependa kuwa na ngozi nyororo? sote tunapenda kuwa na ngozi nyororo na kutokuwa na vipele katika nyuso zetu hii ni njia ambayo unaweza kutumia manjano kuondoa vipele usoni.
Mahitaji:
- Organic apple cider vinegar / unaweza kutumia ndimu au limao pia.
- Manjano
- Asali
- Maziwa
Namna Ya Kufanya.
- Safisha uso wako kwa kutumia maji, kisha chukua apple cider vinegar (ndimu au limao) paka kwenye uso wako kusafisha uchafu ulio bakia katika ngozi, subiri kwa muda wa dk tano na zaidi kabla ya kupakaa mask.
- Changanya asali na manjano kisha pakaa katika uso wako na iache kwa dakika 15-20, kisha osha kwa maji ya uvugu vugu, tunajua jinsi ambavyo manjono huwa yana bakigi usoni hapa ndipo unaweza kutumia maziwa yako.
- tumia cotton ball (pamba) weka kwenye maziwa kiasi kisha pitisha usoni kuliko na madoa ya manjano ili kuondoa madoa hayo.
Fanya hivi mara mbili kwa week na utaona matokeo baada ya muda.
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on to that Topic: afroswagga.com/urembo/namna-ya-kuondoa-chunusi-kwa-kutumia-manjano/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 46830 additional Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/namna-ya-kuondoa-chunusi-kwa-kutumia-manjano/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/urembo/namna-ya-kuondoa-chunusi-kwa-kutumia-manjano/ […]