Kwenda salon kubandikwa kucha ni rahisi sana kasheshe ni pale zinapo anza kuchoka na inabidi urudi tena salon kuzitoa, wengi huwa wanachagua kukaa nazo hivohivo nusu zipo nusu hazipo kisa tu uvivu au kuwa na mambo mengi na huna nafasi ya kwenda salon kuzitoa. Well unaweza kubandua au kuondoa kucha fake mwenyewe nyumbani
Mahitaji
- Acetone
- Nail clippers
- Nail buffer or file
- pamba
- Aluminum Foils
- mafuta ya mgando
Namna ya Kufanya
- Kata kucha ziwe fupi
- ondoa rangi kwa kutumia Nail buffer or file
- paka mafuta ya mgando katika ngozi pembeni ya kucha zako, kisha chukua pamba na uingize katika ace tone na weka pamba hizo zikiwa zimeloana na ace tone katika kucha zako
- kata kipande cha aluminium foil na ufunge kucha yako ambayo umeiweka pamba ili pamba isianguke
- subiri kwa dakika 25-30
- ondoa aluminium yako inatakiwa kucha iwe itoke nayo kama bado funga tena acha kwa muda kisha ujaribu tena kutoa
Nail Clipper Acetone Nail Buffer Or File
Namna Ya Pili – Unaweza kuondoa Kucha Bandia Kwa Maji Ya Uvuguvugu
Mahitaji
- Maji
- Acetone
- bakuli mbili
Chemsha maji ya moto au vuguvugu kisha mimina kwenye bakuli, chukua bakuli nyingine ingiza katika bakuli ya maji ya uvugu vugu na umiminie ace tone, ingiza vidole vyako na uviache kwa muda katika bakuli lenye ace tone, kucha zikisha legea unaweza kuanza kuzitoa.
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on to that Topic: afroswagga.com/urembo/namna-ya-kuondoa-kucha-za-kubandika-fake-nails-mwenyewe/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/namna-ya-kuondoa-kucha-za-kubandika-fake-nails-mwenyewe/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/urembo/namna-ya-kuondoa-kucha-za-kubandika-fake-nails-mwenyewe/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 41668 additional Info on that Topic: afroswagga.com/urembo/namna-ya-kuondoa-kucha-za-kubandika-fake-nails-mwenyewe/ […]