Hakuna kitu kina tia kinyaa kama kucha chafu, ina wezekana ikawa sio uchafu wa kutoka as kuchukua kijiti na kutoa hii inakuwa kama stain (doa) kwamba haitoki huwa ina tokana na kupaka rangi mara kwa mara, magonjwa au tu bad life style, hizi ni njia nne rahisi zinazo weza kukusaidia kuondoa unjano kwenye kucha zako
- apple cider vinegar – kama inavyo onekana kwenye picha, chukua nusu kikombe cha apple cider vinegar weka katika bakuli, chukua na nusu kikombe cha maji ya uvugu vugu mimina kwenye bakuli lenye apple cider vinegar kisha ingiza mikono yako kwa dakika 20, na utoe mikono na kufuta na taulo. Fanya hivi mara tatu kwa siku kwa week 3-4
2. Limao– njia nyingine nzuri kusfishia kucha ni kwa kutumia juice ya limao, weka juice ya limao katika bakuli, ingiza mikono yako na kwa dk 5-10 kisha sugua na brush ukisha ridhishwa na utakataji wa kucha osha mikono yako na upake mafuta au lotion yako unayo itumia
3. Limao na Baking soda – changanya nusu kipande cha limao na kijiko cha baking soda weka mikono yako kwa dk 5-10 kisha chukua brush/mswaki na usugue mpaka pale kucha zako zitakapo ng’aa kisha osha mikono na upake mafuta.
4. Dawa ya mswaki – dawa ya mswaki si bora tu katika kusafisha meno lakini pia ina aminika katika kutakatisha kucha, paka dawa ya mswaki katika kucha zako, iache kwa dakika 10-15na chukua brush uzisafishe vizuri kabisa. Utapata matokeo yake papo hapo
Kama utajaribu usisahau kutupa matokeo yako kupitia
Instagram – afroswagga
Facebook – afroswaggamag
Twitter – afroswaggatz
Related posts
5 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/urembo/namna-ya-kuondoa-unjano-kwenye-kucha/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/urembo/namna-ya-kuondoa-unjano-kwenye-kucha/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/urembo/namna-ya-kuondoa-unjano-kwenye-kucha/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on on that Topic: afroswagga.com/urembo/namna-ya-kuondoa-unjano-kwenye-kucha/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/urembo/namna-ya-kuondoa-unjano-kwenye-kucha/ […]