Anajulikana kama mbaureloaded lakini jina lake kamili ni Khanyi Mbau Metanoia ni mwanamuziki kutoka South Africa ambae anajulikana kutokana na kujichubua kwake. Amekuwa na kawaida ya kutoa maoni yake kuhusu process hii ya kujichubua na week hii alitumia story yake instagram kuongelea kuhusu Sugu / Weusi unakuwa vidoleni baada ya kutumia cream za kujichubua.
Hili ni janga kwa wengi ambao wanatumia cream hizi tumeshaona watu maarufu mbalimbali wakigeuzwa vichekesho kutokana na rangi zao kutokuwa sawa na vidole vyao au mikono yao, well tumejaribu kuchukua picha kwa namna ambavyo Khanyi alikuwa anaelezea, japo si jibu la ku-solve hili tatizo kwa haraka lakini kama umedhamiria kubadilisha rangi yako kwa miaka basi inaweza kukufaa.
Well alikuwa na mengi ya kusema lakini hivi ni vichache vya muhimu ambavyo tumevichukua, anachoshauri ni kutokupaka cream unayoipaka usoni au mwili kugusa nyuma ya kiganja chako, kila unapopaka cream yako hakikisha unanawa mikono kisha upake hand lotion yako, anasema yes bado mikono yako itakuwa myeusi lakini ni bora ufanye hii process taratibu kuliko kutaka matokeo ya haraka huku una haribu kwingine.
Related posts
6 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/urembo/namna-ya-kuondokana-na-sugu-zilizotokana-na-cream-za-kujichubua/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/urembo/namna-ya-kuondokana-na-sugu-zilizotokana-na-cream-za-kujichubua/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/urembo/namna-ya-kuondokana-na-sugu-zilizotokana-na-cream-za-kujichubua/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/urembo/namna-ya-kuondokana-na-sugu-zilizotokana-na-cream-za-kujichubua/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/urembo/namna-ya-kuondokana-na-sugu-zilizotokana-na-cream-za-kujichubua/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/urembo/namna-ya-kuondokana-na-sugu-zilizotokana-na-cream-za-kujichubua/ […]