Ikiwa ni mtindo ambao umeingia sana wakati huu, kila mtu ana penda kupaka lipstick za giza au dark lipstick, tumeona ni bora kutoa dondoo chache za vipi unaweza kuipaka ki ubora zaidi kama professional
MAHITAJI
- sukari na asali
- lipstick ya giza (dark lipstic rangi uipendayo)
- pencil ya giza (dark lipstick pencil uipendayo na inayo endana kidogo na lipstick yako)
MAELEKEZO:
Safisha lips za midomo yako na kisha anza kupaka sukari na asali kwa mtindo wa kusugua kwa muda wa dakika moja na kuendelea kisha toa ile sukari ambayo itakua bado haija sugulika au lainika vizuri kwa pamba au mkono bila kuharibu asali na sukari yako. Baada ya hapo chukua dark lipstick pencil yako na uanze kuipaka kufuatisha jinsi ambavyo lips za midomo yako zimekaa, fanya hivyo mpaka utakapo ridhika na rangi uliyo itaka na upake dark lipstick yako kwa juu kama ambavyo inaonekana pichani
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…