Kupanga dressing table ni kitu ambacho kinatupa stress wengi, hasa unapo kuwa na vitu vingi vidogo vidogo wengi huwa tunapanga tu ili dressing table ipendeze lakini ni vyema tujue jinsi ya kupanga vizuri na kupata nafasi kubwa katika dressing table.
1) kwanza kabisa tunatakiwa kujua zile droo za dressing table sio za kuwekea madaftari wala makoro koro mengine, zile droo zime weka ili uhifadhi vipodozi vyako na kuacha sehemu ya kioo wazi ili upate nafasi ya kujiangalia vizuri.
Lakini pia basi ndo hata kama ivo vipodozi vitakaa kwenye droo haimaanishi uvitupe tupe tu kwa sababu kwenye droo hamna mtu atakae ona jaribu kuweka kila kitu mahala pake ili iwe rahisi kujua nini kipo wapi, ma droo ya juu ni vyema kuweka vile vitu ambavyo una vitumia mara kwa mara pia label droo zako ili upate urahisi ukitaka kutumia vitu vyako.
2)kama dressing table yako haina droo jaribu kupanga vitu kwa utaratibu, vipodozi, perfumes, lotions na mafuta vikae sehemu yake na vibanio vikae sehemu yake (unapo kua na vitu kama chupio,pini za mitandio ni vyema ukatafuta ki box au chupa na kuviweka humo ili kuepuka usumbufu).
3)Make up bags pia ni muhimu pale unapo kuwa na vitu vingi vikazidia dresing table basi ili kupunguza msongamano ni vyema ukatumia make up bags kuhifadhi make up zako ku punguza msongamano katika dessing table yako.
4)kuwa mbunifu, angalia dressing table za wengine jaribu kuiga na kuongeza vionjo uvipendavyo muhimu ni kuweka vitu vinavyo endana sehemu moja
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/urembo/namna-ya-kupanga-dressing-table/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 6593 additional Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/namna-ya-kupanga-dressing-table/ […]