Kazi nyingi tunafanya kwa kutumia mikono, kupika, kufua, kuosha vyombo n.k kazi hizi husababisha mikono yetu kuwa migumu, kuna ambao wanajisikia vibaya kuwa na mikono migumu wakisahau kuwa ni kazi muhimu ndizo ambazo zimesababisha iwe migumu, sio jambo la ajabu kuwa na mikono migumu it shows unafanya kazi. Lakini unaweza kurudisha mikono yako kuwa laini kwa kufanya haya.
- Osha mikono yako kwa moisturizing soap
Kuna sababuni ukitumia zinafanya mikono kuwa mikavu zaidi, achana nazo tumia sabuni ambazo zitakusafisha mikono lakini pia hazifanyi mikono yako kuwa mikavu bali zinakupa unyevu na kukuacha na unyevu.
- Paka Lotion / Mafuta Kilasiku
Unaweza kuwa unapaka mafuta mwilini na ukahisi yale unayoyapaka mwilini yanatosha yaani kwasababu umetumia viganja kupaka mafuta basi yaleyale yaliyobaki kidogo kiganjani ukadhani yanatosha, hakikisha unapaka mafuta ya kutosha viganjani kwako pia.

- Beba mafuta / hand lotion
Ikiwa tunafanya kazi mbalimbali pia utaingia maliwatoni utanawa mikono, utakula utanawa mikono na kuiacha mikavu hakikisha unabeba mafuta au hand lotion na kila unapo jisafisha mikono yako unapaka.
- Paka Suncreen Cream
Mikono inakuwa exposed na jua pia inaweza kuharibu ngozi yako ya mikono, hakikisha unapaka SPF mikononi pia.
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…