Sote tunapenda ngozi ng’avu, lakini hatujui nini cha kutumia tuwe tu wang’avu bila ya kuchubua ngozi zetu, kama ukienda kwenye maduka yavipodozi utasikia wadada wengi wana taka kipodozi cha kuwang’aza lakini kwa bahati mbaya wengi wetu tunakosea hili neno kwa kuwa mweupe, mtu anapo sema anataka kipodozi cha kumg’aza hamaanishi awe mweupe anacho maanisha awe na ngozi yake ile ile ila iwe na nuru, iwe na afya. Kwa bahati mbaya unakuta muuza duka ana kupa cream ya kuwa mweupe lakini unaweza kung’aza ngozi yako nyumbani bila ya kununua vitu dukani ambavyo baadae vinaweza kukuletea madhara
Mahitaji
Mtindi vijiko viwili – ambao hauna radha yaani plain mtindi
Asali- kijiko kimoja
bakuli na kijiko.
Maandalizi
Changanya mtindi na asali katika kibakuli mpaka vichanganyike vizuri, osha uso wako kwa maji masafi na upake mchanganyiko huu, kaa nao kwa dakika 15 kisha osha usho wako, unaweza kufanya hivi mara tatu kwa wiki.
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on on that Topic: afroswagga.com/urembo/namna-ya-kupata-ngozi-ngavu-kiasili/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 180 more Info on that Topic: afroswagga.com/urembo/namna-ya-kupata-ngozi-ngavu-kiasili/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/urembo/namna-ya-kupata-ngozi-ngavu-kiasili/ […]