Siku chache zilizopita mwanadada aliweka wazi kwamba moja kati ya vitu anavyofanya ilikupata ngozi nzuri ni kuogea maziwa, na watu wengi walishikwa na butwaa kwamba unaogeaje maziwa?
Tumeona sio mbaya kama tukiwaletea namna ambavyo unaweza kuogoea maziwa na kupata ngozi nzuri,
Kwanini Maziwa?
Maziwa ya Vitamin A, B, B6, B12, Protein, Potassium , Magnesium , Calcium na nyingine nyingi ambazo zote hizi zinafaida mbalimbali katika ngozi kiwepo
- Kupunguza makali ya kuzeeka
- kufanya ngozi kuwa na unyevu
- Kulinda ngozi kutokana na hurabifu wa jua
- Kuondoa mikunjo ya ngozi
- Husaidia kuondoa weusi na kung’aza ngozi
Je maziwa yanatumiwaje Kuogea?
Kuogea maziwa sio kwamba unajaza maziwa ndoo nzima hapana, unachanganya maziwa Gallon 1–3 (3.8–11.4 L) na maji ya moto lakini kama unapenda na unauwezo unaweza kuongeza maziwa zaidi ya hapo, Kama una bathtub unaweza kukaa katika mchanganyiko huo wa maji na maziwa kwa dakika 15-20, ili maziwa yaweze kufanya kazi yake vyema
- Ukisha maliza kuogea maziwa hakikisha unajisuuza kwa maji safi vinginevyo utanukia maziwa siku nzima.
Kuna namna tofauti tofauti na vitu vingine ambavyo unaweza kuongeza katika uogaji huu wa maziwa, kama
Papai, Asali na Maziwa
- Saga kikombe kimoja cha papai,
- Kijiko kimoja cha asali
- maziwa vikombe viwili
Changanya kwa pamoja weka kwenye maji kisha ogea hii itasaidia kung’arisha ngozi yako
Maziwa Na Limao
- Juisi ya limao moja
- vikombe viwili vya maziwa

Changanya maziwa na limao katika maji yako kisha ogea, ukimaliza hakikisha unajisuuza na maji masafi. hii inasaidia kufanya ngozi kuwa ng’avu na nyororo
Related posts
6 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/urembo/namna-ya-kupata-ngozi-nyororo-kwa-kuogea-maziwa/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 19573 additional Info to that Topic: afroswagga.com/urembo/namna-ya-kupata-ngozi-nyororo-kwa-kuogea-maziwa/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/urembo/namna-ya-kupata-ngozi-nyororo-kwa-kuogea-maziwa/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/urembo/namna-ya-kupata-ngozi-nyororo-kwa-kuogea-maziwa/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 98575 additional Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/namna-ya-kupata-ngozi-nyororo-kwa-kuogea-maziwa/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 63612 more Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/namna-ya-kupata-ngozi-nyororo-kwa-kuogea-maziwa/ […]