Kuna wale ambao huwa ni God’s last born huwa wana glow wakiwa wajawazito na baada ya kujifungua lakini kunawale ambao ni watoto wa kambo wana patwa na mabadiliko ya homoni ambayo yanaweza kusababisha uharibifu wa ngozi ambao unaweza kuhitaji uangalizi wa karibu pamoja na kufanya mabadiliko ya mtindo wa maisha
Hizi ni njia nne za kupata ngozi nzuri baada ya ujauzito
Kunywa maji mengi
maji ya kunywa ni kipengele ambachu husahaulika zaidi, lakini muhimu zaidi katika kudumisha ngozi nzuri. Kimatibabu, maji huweka ini katika hali nzuri baada ya ujauzito. Mtu anatarajiwa kunywa angalau glasi 8-10 za maji kila siku ili kudumisha afya ya ngozi. Kazi ya maji ni kulainisha ngozi ndani, kusaidia ngozi kuhifadhi elasticity na mng’ao
Skincare Routine
Dead skin, rangi isiyokuwa na uwiano au dull skin na chunusi ni kawaida baada ya ujauzito. Ni muhimu kwamba mtu aanze skincare routine, kwa hivyo usisahau kusafisha, tone na ku-moisturizer uso wako.
Pumzika iwezekanavyo
unapolala, mwili wako una-rejuvenates itself. Pia ndiyo sababu huwa tunatumia bidhaa zetu nyingi za utunzaji wa ngozi wakati wa usiku tunapolala. Mtoto kuamka mara kwa mara katikati ya usiku kunaweza kuathiri kiasi cha usingizi unaopata. Inashauriwa kupumzika na kulala wakati mtoto pia ame pumzika.
Jiweke safi kila wakati
usafi ni muhimu sana wakati wote unapomshika mtoto. Post-pregnancy dutie, hata hivyo, hii inaweza kuathiri usafi wako. Jambo muhimu zaidi ni kuhakikisha kuwa umeoga na kubadilisha nguo zako kila siku.
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…