Kuna vitu ambavyo vinaweza kukufanya uwe na insecurities lakini kumbe ni vya kawaida, moja kati ya vitu hivyo ni kuwa na weusi kwapani, weusi kwapani unatokana na vitu vingi, kama kutumia wembe wakati wa kunyoa, msuguano wakati kwapa limefunikwa, diet mbaya lakini pia kuna part za miili yetu zina overproduces a pigment called melanin.
Well leo tunakuletea tips chache ambazo zinaweza kukusaidia kupunguza weusi kwapani
- Tumia Natural Deodorant
Hold your horses kupaka deodorant si kitu kibaya lakini pia kuna deodorant ambazo zina kemikali kali zinazoweza kusababisha makwapa yazidi kuwa meusi, tumia deodorant ambazo zina less chemicals au zile ambazo zimetengenezwa na vitu vya asili, ni ngumu kuzipata lakini zinasaidia sana.
- Tumia Waxing
Badala ya kutumia viwembe ku-shave badilisha na badala yake anza kufanya waxing, hii inasaida kwasababu ukifanya waxing nywele zinachelewa kuota na hata zikiota hazirudi kuwa ngumu zaidi ya mwanzo au kupata ingrowing hair, kujikuna na kufanya ngozi yako isiwe nyeusi.
- Exfoliate
Hakikisha una exfoliate makwapa yako kama ambavyo unafanya usoni au mwilini, unaweza ku-exfoliate kila week au kama ni ngumu basi mara moja kila baada ya week mbili na utapata matokeo mazuri.
- Consider Kuvaa Loose Fitting / Chagua Material Nzuri
Kama unapenda mavazi ya kubana jaribu kupunguza kuvaa mavazi haya yenye pia yanaweza kusababisha weusi makwapani, makwapa pia yanahitaji hewa so let it loose from time to time na vaa materials ambazo zina ruhusu hewa kuingia.
Namna Ya Kuondoa Weusi Sehemu Zilizojificha
Namna Ya Kupata Rangi Moja Mwilini Kwa Kutumia Vitu Vya AsiliĀ
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…