Kila mtu anapenda kupata ngozi nzuri, ile ngozi inayo glow na kuvutia wengi tunatumia bidhaa za ngozi mbalimbali zenye kuleta madhara mbeleni lakini kumbe tunavitu katika majiko yetu ambayo yanaweza kutusaidia tena bila kuleta madhara makubwa.
Baking soda ni moja ya vitu ambavyo ni marachache kukosekana katika nyumba za watu mbalimbali, ina matumizi yake jikoni lakini pia inasaidia sana katika mambo ya urembo, iwe nywele, ngozi au meno leo tunakuletea namna unavyo weza kupata clear skin kwa kutumia baking soda.
Mahitaji:Â
- baking soda – nusu kikombe
- maji – kikombe kimoja
- mafuta ya nazi – kijiko kimoja cha chai
- bakuli dogo
- kijiko
Namna ya kufanya:Â
Weka baking soda yako katika bakuli, mimina mafuta ya nazi na maji na uchanganye ili upate uji/paste hakikisha haiwi laini sana ili kuweza kukaa vizuri katika ngozi, paka katika sehemu ambayo ungependa iwe na clear skin na u-scrub taratibu ukisha ridhika osha kwa maji ya baridi na upake mafuta yako ya kila siku, fanya hivi mara mbili kwa week kwa matokeo mazuri.
Note: Usi – scub sana katika ngozi unaweza kujichubua na pia husiiache ikaukie katika ngozi.
Related posts
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…