Seems like bia sio tu katika afya lakini pia inafaida katika urembo katika nywele na ngozi, wakati wengine wakipenda kuinywa ili kujifurahisha na marafiki zao na wengine husema zinapoteza mawazo, sisi wengine tunatumia kilevi hiki katika kupata laini na zenye afya.
2009 actress Catherine Zeta ali-reveal home remedy yake ya kutumia beer na asali katika nywele zake, toka hapo beauty experts na bloggers mbalimbali wamekuwa wakitumia remedy hii, lakini pia makampuni mbalimbali yamekuwa yakitumia beer kama ingredient moja wapo katika bidhaa zao na kusema kuwa ina saidia kuboresha ubora wa nywele,kuzifanya ziwe laini lakini pia kuonekana/kuwa na afya.
Unawezaje kutumia beer katika nywele?
- Chukua chupa ya bia yako fungua na umimine bia katika bakuli au jug, kisha liache bakuli lililp na beer wazi kwa muda mpaka gas ya bia itakapo pungua au kuisha kabisa na kubaki flat, hakikisha unatoa gas ya bia kwa maana ukiiacha ukija kuichanganya na maji husababisha maji kubadilika kuwa maji magumu ambayo yataleta shida katika uoshaji wa nywele.
- Tumia shampoo yako ya kawaida kuosha nywele zako na baada ya kuosha, badala ya kutumia conditioner chukua ile bia ambayo uliiacha gas ikasha na uimimine bia hii moja kwa moja kwenye nywele zako, ukisha hakikisha umemimina ya kutosha anza kumassage mizizi ya nywele zako taratibu kwa dakika moja, Inasemekana madini ya bia yanafaa katika ngozi ya kichwa chako, husaidia kuiacha ngozi ikiwa nyevu na mafuta. Iache bia ikae kwa dakika chache
- Osha nywele zako na maji baridi. Usijali kama baadhi ya bia itasalia kwenye kichwa chako, kwa kuwa inamanufaa katika nywele, tumia remedy hii mara moja au mbili kwa week matumizi mengi ya bia kwenye nywele zako inaweza kusababisha ngozi kuwa kavu na kupata mba.
Tip: Ili kupata ubora zaidi katika mask yako ya bia unaweza kuongeza vitu vingine vya asili ambavyo vinafaida katika nywele kama, yai, asali,apple cider vinega,lakini pia unaweza kuongezea essential oils kama
- Lemon oil: It strengthens hair, adds shine, and fights against dandruff.
- Almond oil: It moisturizes and soothes the scalp.
- Chamomile oil: It adds shine and softens hair.
- Jojoba oil: It adds nutrients to hair and moisturizes the scalp.
- Lavender oil: It acts as a deep conditioner that moisturizes, nourishes and adds antioxidants to hair
- Sandalwood oil: It helps with dry or split ends.
Related posts
7 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/urembo/namna-ya-kutumia-bia-beer-kupata-nywele-laini-na-zenye-afya/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here on that Topic: afroswagga.com/urembo/namna-ya-kutumia-bia-beer-kupata-nywele-laini-na-zenye-afya/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 40917 more Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/namna-ya-kutumia-bia-beer-kupata-nywele-laini-na-zenye-afya/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on to that Topic: afroswagga.com/urembo/namna-ya-kutumia-bia-beer-kupata-nywele-laini-na-zenye-afya/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/urembo/namna-ya-kutumia-bia-beer-kupata-nywele-laini-na-zenye-afya/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/urembo/namna-ya-kutumia-bia-beer-kupata-nywele-laini-na-zenye-afya/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 37553 more Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/namna-ya-kutumia-bia-beer-kupata-nywele-laini-na-zenye-afya/ […]