Hina ni moja kati ya mimea ambayo watu wengi hasa wanawake huitumia katika kujiremba hasa kujichora maungoni bila kutambua kuwa mmea huo huweza kusaidia katika utunzaji wa nywele zao pia kwa kiasi kikubwa.
maandalizi ya Hina.

- Hina vijiko vitatu vya chakula.
- Kipande cha ndimu au limao.
- Maji ya chai kiasi kidogo.
- Glavu mbili mpya.
NAMNA YA KUFANYA:-
- Vaa glavu ili mikono yako isiharibiwe na hina.
- Changanya hina na viungo vyake hakikisha haiwi nyepesi sana wala nzito sana.
- Gawa nywele zako katika mafungu manne,kisha paka hina yako kwa uangalifu ili isichafue uso wako.
- Hakikisha unakaa nayo kwa muda usiopungua lisaa limoja.
- Zikiwa tayari,hakikisha unaosha vizuri na kukausha nywele zako kwa taulo lililo safi.
Unaweza kuziweka nywele zako katika mtindo wowote baada ya kupaka Mafuta.
Related posts
4 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/urembo/namna-ya-kutumia-henna-hinna-kwa-ukuaji-wa-nywele/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 44671 more Information on that Topic: afroswagga.com/urembo/namna-ya-kutumia-henna-hinna-kwa-ukuaji-wa-nywele/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here to that Topic: afroswagga.com/urembo/namna-ya-kutumia-henna-hinna-kwa-ukuaji-wa-nywele/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/namna-ya-kutumia-henna-hinna-kwa-ukuaji-wa-nywele/ […]