Haute Couture Jewelry ni yale mapambo ambayo hubuniwa na wabunifu kwa ubunifu wa hali ya juu, si lazima ziwe designer hearings ndio ziwe haute hapana zina weza zikawa za kawaida tu lakini ni kubwa vya kutosha ku make a statement.
Kama unazo na zime kaa tu ndani hujui uzivaaje hii ni baadhi ya miongozo inayo weza kukusaidia
Matching Them na Outfit yako
Ni vizuri ukatafuta shade moja ya rangi iliyopo katika hereni zako uka match na nguo zako, japo jaribu kuto kuonekana ume vaa rangi moja too much.
Vaa seti nzima ya haute couture jewel yako
Hii itakupunguzia muda wa kutafuta u pair hereni zako na nguo ya rangi gani, una weza kuvaa seti nzima ya haute couture jewel zako zika math zenyewe kwa zenyewe lakini hakikisha pia nguo yako inakuwa sio colorful sana
opt kwa bold colored gemstone hearings kama una vaa neutral color outfits
kuvaa neutral color outfit kuna weza kuwa boring ili ku spicy up mtoko wako vaa colored gemstone hearings kuchangamsha mtoko wako
Haute couture hearings si lazima ziwe za rangi rangi
Kuna Haute couture hearings za silver na gold pia zina weza kuvaliwa ku spicy up mtoko wako hizi zina faa sana katika casual outfits, red carpet kama ume vaa vazi la rangi rangi na night wear.
Tuna dhani next time ukitaka kuvaa hereni zako hizi utakumbuka tips hizi, kutupa maoni yako wasiliana nasi kupitia
Instagram – afroswagga
Facebook – adroswaggamag
Twitter – afroswaggatz
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on to that Topic: afroswagga.com/urembo/namna-za-kuvaa-haute-couture-hereni/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 90233 more Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/namna-za-kuvaa-haute-couture-hereni/ […]