Augustine Miles Kelechi wengi tunamjua kama Tekno Miles au Tekno ni msanii wa muziki ambae ana tokea Nigeria, ana nyimbo kadhaa ambazo zime hit kama Duro, Pana, Wash na sasa ana wimbo mpya uitwao Diana. Tekno ni moja kati ya wasanii ambao wana vuruga akili yetu kutokana na style zake za nywele, mara kadhaa amekuwa akituwacha mdomo wazi kwa style zake hizo.. hii ikatupelekea kujiuliza nani ni stylist wa nywele zake na ana wazaga nini? hizi ni kadhaa ambazo zilituweka katika alama ya mshangao
Hii ni common hair style yake ambayo ana nyoa pembeni ana acha katikati na kuweka kichuguu
hapa akiwa ame weka hair style hio hio lakini ame badilisha rangi ya nywele
hapa kichuguu kilikua bado hakija kua vizuri
ipe jina hii
hapa akiwa ame nyoa upara upande mmoja na mmoja kukiwa na nywele kidogo kisha ame weka way katikati, jiulize hii style kinyozi wake aliwaza nini
tuambie kupitia
Instagram – afroswagga
Facebook – afroswaggamag
Twitter – afroswaggatz
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…