Mvi au nywele nyeupe ni ndoto mbaya ya kila mtu wote wanawake na wanaume (kila mtu ana taka kuonekana kijana, mjini kila mtu baby) hakuna ambae ana taka kuonekana na mvi kwa sababu imani yetu mvi huwapata wazee lakini mvi huweza kumpata yoyota pale tu melanocytes around the hair follicle reduces the amount of melanin it produces (or stops completely).
Tuone namna ambavyo una weza kuondoa nywele nyeusi natural bila kutumia madawa
Majani ya chai meusi ( yale ya kawaida ya chai si green tea)
Hii ni njia rahisi na una hitaji vitu viwili tu
- Majani ya chai
- Maji
chemsha maji na majani ya chai kwa muda kisha yatoe na uyapooze, jimwagie maji hayo katika nywele kaa nayo kwa muda wa lisaa limoja una weza kuongeza hata masaa mawili, kisha osha na maji. USIPAKE SHAMPOO. fanya hivi mara 2 hadi 3 kwa week.
Juisi ya Limao na Mafuta ya Nazi
Hivi unavyo jikoni kwako kwaio una weza kufanya mara nyingi uwezavyo una hitaji
- Juisi ya limao vijiko vitatu
- mafuta ya nazi yanayo tosha kulowanisha nywele zako
changanya mafuta ya nazi na juisi ya limao, pakaa kichwani kaa nayo kwa muda wa lisaa limoja na uoshe kwa mild shampoo au sabuni
Mafuta ya Nazi na Henna (hina)
Chukua mafuta ya nazi na majani ya henna vichemshe kwa pamoja kisha chuja na tumia mafuta haya katika nywele zako kila siku mpaka utakapo pata mabadiliko.
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…