Ndizi ni tunda tamu sana ambalo wengi huwa tunapendela kulila na hakula, zina msaada katika mwili na magonjwa mbalimbali zinasifika kwa kuwa na wingi wa B6, copper, manganese, potassium, vitamin C, and biotin. Lakini sifa za ndizi haziishii kwenye utamu tu lakini pia msaada wake katika urembo wa ngozi na nywele.
- Faida Ya Ndizi Katika Ngozi Na Kuondoa Chunusi
Mahitaji
- Ndizi – Moja
- Manjano – Nusu Kijiko
Namna Ya Kuandaa
Mara moja kwa week jaribu hii treatment mara moja kwa week, pondaponda ndizi iwe kama uji kisha changanya ndizi na manjano yako. Paka katika eneo lenye tatizo (chunusi) au uso mzima acha mchanganyiko huu kwa dakika 10-15 na kisha uoshe kwa maji safi.
- Ndizi Kwa Ajili Ya Nywele
Mahitaji
- ndizi – 1
- mafuta ya nazi – kijiko kimoja
- olive oil – kijiko kimoja
- asali – kijiko kimoja
Namna Ya Kuandaa
Ndizi husaidia kuponya split ends ( Ncha ) na kuzifanya ziwe na uzito sawa na nywele za chini lakini pia husaidia ukuaji wa nywele, unacho takiwa kufanya ni kupondaponda ndizi upate uji kisha changanya mafuta yako na asali katika uji huo wa ndizi. Paka katika nywele kisha funga nywele na mfuko au hair cap, japo sio lazima acha mchanganyiko huo kwa dakika 10-15 kisha chana nywele zako taratibu na kwa uangalifu osha vizuri hakikisha umetoa mafuta yote. Fanya hivi mara mbili kwa mwezi.
As usual ukijaribu hii tip usisite kutupa matokeo.
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] There you will find 63335 more Information on that Topic: afroswagga.com/urembo/ndizi-inavyo-weza-kukusaidia-katika-ngozi-na-nywele/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/urembo/ndizi-inavyo-weza-kukusaidia-katika-ngozi-na-nywele/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here to that Topic: afroswagga.com/urembo/ndizi-inavyo-weza-kukusaidia-katika-ngozi-na-nywele/ […]