Ikiwa mwezi huu tume udedicate katika kujua maswala yanayo endana na mwezi Mtukufu, tume tambua watu wengi wana pata shida na kucha zao. ambapo wengi kutokana na mazoea ya kupaka rangi za kucha hivyo huamua kupaka henna jambo ambalo si baya hata kidogo. Lakini kwa wale ambao henna hawaziwezi basi wana weza kufanya yafuatayo kuzipa kucha zao mng’ao bila hata ya kupaka rangi.
Loweka kucha katika maji vuguvugu.
Wakati unahitaji vidole vyako na kuang’aa bila ya kupaka rangi , unahitaji mara kwa mara kuloweka vidole vyako katika maji vuguvugu. Kwa nini? maji vuguvugu husaidia kuboresha kucha na kuondosha rangi za kucha. Kwa una wezakutumia sabuni ya asili na scrub ya kucha kusafisha kucha zako.
Sugua kucha na vipande limao .
kama wewe ni mpenzi wa kupaka rangi za kucha mara kwa mara basi ni lazima utakua na kucha za njano, ili kuweza kuwa na kucha ang’avu jaribu kusugua kucha zako na kipande cha limao mara kwa mara. unaweza pia kutengeneza dawa hii nyumbani changanya kijiko kimoja cha baking soda, 1 kijiko cha limao na kijiko kimoja cha olive oil mpaka vichanganyike vizuri na sugua katika kucha zako kisha osha kwa maji masafi. Hii itazipa kucha zako afya,ung’avu na nguvu.
Tumia kisugulio cha kucha
hiki karibu kila mwana mama na msichana anacho sugulia kucha zako zioshe kisha paka mafuta yoyote unayo yatumia utapata mg’ao katika kucha zako.
Related posts
1 Comment
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on on that Topic: afroswagga.com/urembo/ngarisha-kucha-zako-bila-kutumia-rangi-ya-kucha/ […]