Kuna vitu unaweza kuvisikia na usiamini lakini ni kwamba maji ya mchele yanaweza kukupatia ngozi nyororo na ng’avu, maji ya mchele ni siri ya urembo kwa wanawake wa ki-Japanese, tulishawahi kuona namna wanatumia maji ya mchele kukuza nywele lakini kumbe inawezekana kutumia hata katika ngozi, badala ya kutumia bidhaa zenye kemikali wao hutumia maji ya mchele katika ngozi na nywele zao.
Faida Za Maji Ya Mchele Katika Ngozi
- maji ya mchele yanaweza kutumika katika aina zote za ngozi kama ngozi kavu na ngozi yenye mafuta
-
Maji ya mchele yana vitamini kama vile B1, C, E, pamoja na madini, ambayo yanaweza kupunguza matobo katika ngozi, kukaza ngozi, kupunguza mistari ya uzee na pia kuang’aza ngozi yako.
-
Maji ya mchele pia husaidia kuponya chunusi na hupunguza wekundu katika ngozi. inaimarisha ngozi na kuifanya iwe nyororo na kuipa ugumu.
Namna Ya Kutengeneza Maji Ya Mchele
safisha mchele kwa kutumia maji ili kuondoa uchafu au uchafu wowote. Weka mchele katika bakuli miminia maji. loweka mchele wako kwa dakika 30, kisha toa mchele katika maji hayo na mimina maji yako katika chombo safi na maji yako ya mchele yatakuwa tayari kwa matumizi
Namna Ya Kutumia Maji Haya Kung’aza na Kusafisha Uso
- Jinyunyuzie maji ya mchele kidogo katika uso wako na taratibu massage uso wako kwa dakika moja, baada ya hapo osha uso wako kama kawaida na utaanza kuona matokeo katika ngozi yako, fanya hivi kabla ya kwenda kuoga. unaweza kuhifadhi maji yako katika kikopo chenye mfuniko, unaweza kuyatumia kwa siku 5 baada ya siku hizo tengeneza mengine.
Kuna namna tofauti za kung’aza ngozi yako kwa asili unaweza ku click hapa kusoma lakini pia ukijaribu husisite kutupa matokeo katika mitandao yetu ya kijamii.
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/urembo/ngarisha-ngozi-kwa-maji-ya-mchele/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on on that Topic: afroswagga.com/urembo/ngarisha-ngozi-kwa-maji-ya-mchele/ […]