Ikiwa leo ni siku ya kwanza Mwezi Mtukufu wa Ranadhani ume anza tutaanza na kukuelezea vitu muhimu vya kufanya katika fungua yako, ukiwa ume funga mwili unakua una pungua nishati ambayo hutoka katika chakula na kusababisha uchovu kidogo na kudhoofu kwa mwili na pia mwili hupoteza maji ambayo pia ni muhimu mwilini na kusababisha ngozi kupoteza mvuto wake na kusinyaa . utahitaji kuwa muangalifu katika kufungua funga yako, ni vizuri ukaanza kufungulia kwa
Matunda ambayo kwa asili yake huwa na maji na sukari nyingi kama vile, zabibu, apple, tikiti maji na hata muwa kama una weza.
Epuka matunda jamii ya machungwa yana kiasi kikubwa cha tindikali
pia una shauriwa kula tende, Ulaji wa tende humsaidia sana mhusika kupata kiasi cha kutosha cha protini na vitamin B1, B2, B3, B5, A1, na C, virutubisho ambavyo ni muhimu kwa ustawi wa afya ya mwili. Hii itasaidia mwili wako kuto kudhoofu lakini pia husaidia katika ngozi na ukuaji wa nywele.
Pia unaweza kufungua Funga yako kwa kunywa maji mengi safi na salama, kwa afya bora ya ngozi na mwili wako

Related posts
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…