Ngozi huanza kuanguka/kushuka au kuwa laini kutokana na sababu mbalimbali ikiwepo uzee, jua, kutumia vipodozi vyenye kemikali kwa muda mrefu au magonjwa, hakuna anependa kuwa na ngozi za aina hii kwaio ni muhimu kuchukua hatua mapema kabla hazija tufikia lakini kama umeshafikia hatua hiyo si mbaya pia kuna njia mbalimbali za kuweza kuimarisha au kuondoa kabisa ngozi iliyo anza kuzeeka.
Tuna njia mbili ambazo unaweza kutumia na ni rahisi mno
Face mask ya ndizi
Mahitaji
- ndizi – nusu
- olive oil – kijiko cha chai
- asali – kijiko cha chai
Namna Ya kufanya
- menya ndizi yako na uponde ponde iwe ujiuji au kama juice, kisha changanya na asali na olive oil
- paka mchanganyiko wako usoni na shingoni
- acha kwa muda wa dakika 15 na uoshe uso wako kwa maji ya vugu vugu
- fanya hivi mara mbili kwa week kupata matokeo bora.
Face Mask Ya Yai
Mahitaji
- Ute wa yai – 1
- mtindi – kijiko kimoja kikubwa
- sukari – kijiko kimoja kidogo cha chai
Namna Ya kufanya
- tenganisha ute wa yai na kiini chake, kisha changanya ute wa yai na sukari na mtindi
- acha mchanganyiko wako katika ngozi mpaka ukauke
- kisha futa/osha uso wako na maji ya vuguvugu
- fanya hivi mara moja kwa week na utapata matokeo baada ya week chache.
Related posts
5 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/urembo/njia-2-za-kuimarisha-kukaza-ngozi/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 66784 additional Information on that Topic: afroswagga.com/urembo/njia-2-za-kuimarisha-kukaza-ngozi/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 58246 more Information on that Topic: afroswagga.com/urembo/njia-2-za-kuimarisha-kukaza-ngozi/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 92937 more Information on that Topic: afroswagga.com/urembo/njia-2-za-kuimarisha-kukaza-ngozi/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/urembo/njia-2-za-kuimarisha-kukaza-ngozi/ […]