Oh we love water proof mascara’s zimetengenezwa zisitoke pale ambapo maji yanapo ingia, zinatustiri sana pale mvua zinapo nyesha au unapo kuwa sehemu ukatokwa na machozi eidha ya furaha, huzuni au hata kupiga miayo zinakua hazi create dark cycles si kama zile ambazo si water proof. Kila kilicho na faida hakikosi hasara hata kama ndogo lakini ni hasara hizi water proof mascara kuzitoa ni mtihani, tumesha zoea kutoa mascara na kitambaa cha unyevunyevu hizi utakesha kuzitoa leo tumelatea njia 3 rahisi ambavyo unaweza kufuta au kutoa waterproof mascara.
- Makeup remover – Utahitaji makeup remover, paper towel na pamba
- Weka paper towel chini ya jicho lako (fumba jicho)
- weka makeup remover ya kutosha katika pamba yako
- anza kufuta mascara ya kama ambavyo huwa unafuta za kawaida
- ukisha ridhishwa na usafi wa kope zako osha uso kwa maji ya vuguvugu
- paka mafuta kuondoa ukavu wa ngozi.
2. Mafuta ya maji – Mafuta ya nazi au olive oil na pamba
- loesha kope zako kwa maji kiasi
- lowesha pamba yako na mafuta ya maji (yoyote chaguo lako) kisha bonyeza mafuta yaliyopo kwenye pamba taratibu yaangukie kwenye nyusi zako
- funga jicho lako kwa sekunde 30
- futa kope zako kwa taulo au kitambaa ili kuondoa mafuta na mascara
- osha uso na paka mafuta baada ya kuridhika na usafi wa kope zako.
3. Mafuta ya Mgando – mafuta ya mgando
- paka mafuta ya mdango kiasi katika kope zako
- kaa nayo kwa dakika moja
- futa kope zako kwa wet wipes au kipande cha nguo (taulo,kitambaa)
- osha uso na paka mafuta baada ya kuridhika na usafi wa kopei zako.
Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/urembo/njia-3-rahisi-za-kufuta-water-proof-mascara/ […]