Dhahabu inaweza ikawa ni rafiki wa karibu wa mwanamke lakini silver ni rafiki tegemezi kwa mwanamke, acccessories za silver ndizo huvaliwa sana na mwanamke na zinafanya mtoko wako upendeze zaidi zinaweza kufanya mtoko wako ushine na zinaendana na rangi nyingi za nguo. Pia ni rahisi kununua accessories za silver kuliko dhahabu.
Lakini ni vito ambavyo vinachafuka sana unaweza husivitamani wala kuvitaka tena vikichafuka well tunakupa tips za nini unaweza kufanya vito vyako hivi vikichafuka
- loweka katika foil
aluminium foil ikichanganywa na chumvi inaweza kusafisha vito vyako vizuri zaidi,weka aluminum foil katika bakuli au kikombe chako, mimina maji ya moto na weka chumvi yako kisha ingiza accessories zako katika mchanganyiko huo na uache kwa dakika 10-15, utaona jinsi ambavyo uchafu unatoka na vito vyako vina rudi katika hali yake ya ung’avu vitoe na uache vikauke.
- Loeka kwa muda mrefu
Njia nyingine ya kusafisha vito vyako vya silver ni kwa kuviloeka kwa muda, unaweza kuloeka na sabuni ya unga, baking soda na limao au ndimu, unaweza kuviloeka kwa siku nzima au masaa kadhaa na kuvitoa vikauke, you will amezed on how this tricky can work wonders.
- Dawa Ya Mswaki
Kama vito vyako ni vya bei ghali ni vyema ukaenda kwa sonara au kununua dawa za kusafishia vituo, lakini kama ni vya bei rahisi basi jibu lako ni dawa ya mswaki, chukua dawa ya mswaki weka kwenye chombo changanya na maji na baking soda kidogo, kisha tumia mswaki kusafishia vito vyako, chukua mswaki ambao ni mlaini ilikuepuka kuchuna vito vyako.
Kujua namna ambavyo unaweza kutunza wig lako,bonyeza hapa
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…