Edges ni hizi nywele za mbele, pembeni na nyuma ya kichwa, mara nyingi nywele hizi huwa zinakatika sana, na hii ni kutokana na kwamba zenyewe ni nyepesi lakini pia hupitia mambo magumu ikiwepo kuzilalia, ukichana au kufunga mtindo unazifuta kwa nguvu kwenye kusuka pia zinavutwa, leo tunakuletea namna 5 ambavyo unaweza kujali edges zako zisikatike
Njia Za Kutunza Nywele Wakati Unanyonyesha
- Suka Misuko Mikubwa
Unaposuka nywele ndogo unavuta sana nywele mbele, jaribu kusuka misuko mikubwa/minene ili kuondoa kuzivuta na mwihoe kukata kabisa nywele zako.
- Low maintenance styles
Weka styles ambazo zina low maintenance haziitaji kuchana edges zako mara nyingi na kusabisha zikakatika, lakini pia epuka mitindo ambayo inavuta sana nywele na yenyewe husabisha nywele za mbele kukatika .
- Moisturize
- MAFUTA YA ALIZETI KWA UBORA WA NYWELE ZAKO
Usisahau kupaka mafuta edges zako, wengi tunaweka concetration yetu kwenye nywele ndefu juu na ngozi lakini tunasahau nywele za pembeni katika kupaka mafuta well kama unazipenda inabidi uzipake mafuta, mafuta mazuri ambayo yanasifiwa na wengi ni black castor oil, Dr. Miracles Temple na Nape balm they can do magic to your edges.
- Loosen up
Sote tunapenda kubana nywele zetu ili kuonyesha sura uzuri kabisa, lakini tatizo ya styles hizi za nywele ni kwamba zinahitajika uzivute sana na wakati unafanya hivyo kwa urembo huku edges zako nazo zinateketea, well ni vyema ukatafuta styles za nywele ambazo zipo relaxed au kama ungependa kubana basi jaribu kulegeza mbano wako uwezavyo.
- Vaa Scarf
wengi tunapenda kwenda kulala na nywele nzuri na kuamka na nywele nzuri kutokuvaa kofia, hii sio njia ya kuchukua. Kuvaa kitambaa cha satin usiku sio tu kunalinda hairstyle yako, pia inalinda nywele zako kutokana na uharibifu. foronya za mito mara nyingi hutengenezwa na vitambaa vya pamba ambavyo hunyonya unyevu na mafuta katika nywele zako Hii inaacha nywele zako dhaifu, Kuvaa scarf ya satin husaidia kukinga yote haya
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/urembo/njia-5-za-kujali-edges-zako-zisikatike/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/urembo/njia-5-za-kujali-edges-zako-zisikatike/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/urembo/njia-5-za-kujali-edges-zako-zisikatike/ […]