Si kazi rahisi kuondoa chunusi usoni, chunusi huwa zina kera sana zinapo tokea usoni ni furaha pale uso wako unapo kuwa soft lakini ni wachache ambao wana bahati ya vipele kuondoka na ngozi kuwa soft na safi bila ya madoa, wengi wetu chunusi zinaondoka na yana baki madoa haya hukera zaidi kwa maana tatafuta njia nyingi za kuondoa mwishoe unaweza kushangaa unatumia vitu badala ya kuondoa madoa basi vina rudisha vipele upya, kwetu ni vizuri zaidi kama utatumia vitu vya asili na hii ni moja kati ya namna nyingi za kundoa madoa kwa asili
Mahitaji
- parachichi – 1
- asali mbichi – kijiko 1
- kipande cha limao – Nusu limao
Namna Ya Kufanya
Menya parachichi katakata kisha lisage, minya limao ili kupata juice ya limao na ondoa mbegu zake kisha chaganya pamoja parachichi ulilo lisaa, limao na asali. Vikisha changanyika vizuri paka usoni kwa dakika 30 na usafishe uso wako kwa maji masafi, paka mafuta yako uyatumiayo kila siku.
Note: kama unamadoa yanayo tokana na chunusi hakikisha una paka sun screen, jua linaweza kusababisha madoa yakawa meusi zaidi
- usiwe una zibandua au kuchezea hayo madoa utazidi kufanya yawe meusi au kutokwa na vidonda.
- namna nzuri ya kuzuia haya yote yasitokee ni kujipa skin routine nzuri ambayo itakufanya usiwe na vipele
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/urembo/njia-asili-ya-kuondoa-madoa-yaliyo-tokana-na-chunusi/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 92461 more Info on that Topic: afroswagga.com/urembo/njia-asili-ya-kuondoa-madoa-yaliyo-tokana-na-chunusi/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/urembo/njia-asili-ya-kuondoa-madoa-yaliyo-tokana-na-chunusi/ […]